Friday, February 6, 2009

TUKUBALI MABADILIKO

Katika matumizi ya kila siku kumekuwep[o na ongezeko makubwa la matumizi ya mtandao kila kukicha jambo ambalo linasadikiwa kuwa huifanya dunia iweze kubebwa katika viganja vya kila mtu.
Tunashuhudia mawasiliano mya kitekinolojia yakiongezeka kila kunapoitwa leo kwani jambo linalotendeka hivi leo katika nchi ya Marekani kadhalika na hapa pia nchini linaweza kuonekana kwa urahisi kabisa.

Hivi karibuni tulishuhudia kuapishwa kwa raisi Barack Obama ambapo kwa muda mmoja dunia iliweza kushuhudia kwa wakati mmoja kuapishwa kwake, Thats why nasema bado kitambo kidogo sana dunia itakuwa karibu kupindukia.

Utaungana nami kuwa ili kuleta mabadiliko ya kitekinolojia kwa vizazi vijavyo sisi tuliopo hatuna budi kushinikiza elimu hii ya Mtandao wa komputa( Internet) ikiwa endelevu kuanzia katika shule za msingi ili mabadiliko haya yasituache nyuma sana.

No comments:

Post a Comment